20 Wazazi wake wakawajibu: “Tunajua hakika kwamba huyu ni mwana wetu na kwamba alizaliwa kipofu.
Yesu akamwuliza baba ya mutoto: “Amekuwa na hali hii tangu wakati gani?” Baba yake akamujibu: “Ni tangu utoto wake.
na kuwauliza: “Huyu ndiye mwana wenu munayesema kama alizaliwa kipofu? Namna gani anaona?”
Lakini hatujui kilichotokea hata anaona sasa, wala hatujui ni nani aliyemuponyesha macho. Yeye ni mutu muzima. Mumwulize yeye mwenyewe, naye atawaelezea maneno yake.”