14 Na siku ile Yesu alipofanya matope na kuponyesha macho ya mutu yule, ilikuwa siku ya Sabato.
Siku moja ya Sabato Yesu akapita katika mashamba ya ngano. Wanafunzi wake wakaanza kuchumachuma masuke ya ngano kwa kadiri walivyoendelea katika njia.
Siku moja ya Sabato, Yesu aliingia katika nyumba ya mumoja wa wakubwa wa Wafarisayo kwa kula chakula. Mule watu wakabaki wakimuchunguza.
Kwa sababu ile Wayuda wakaanza kumufuatilia Yesu kwa kuwa alifanya mambo haya kwa siku ya Sabato.
Mara moja mutu yule akapona, akatwaa kipoyi chake na kuanza kutembea. Siku ile ilikuwa siku ya Sabato,
Wakamupeleka yule mutu aliyekuwa kipofu kwa Wafarisayo.
Yesu alipokwisha kusema vile, akatema mate chini, akayavuruga pamoja na mavumbi na kufanya matope kidogo, akayapakaa kwa macho ya yule kipofu