Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoane 9:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Basi wakamwuliza: “Macho yako yaliponyeshwa namna gani?”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoane 9:10
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kama vile hauwezi kujua jinsi uzima unavyoingia katika mifupa ya mutoto katika tumbo la mama yake, vilevile hauwezi kuelewa matendo ya Mungu, aliyefanya kila kitu.


Kisha wakamwuliza Baruku: Basi utuambie, umepata namna gani kuandika maneno haya yote? Yeremia alisema, nawe ukayaandika?


Kila siku alilala na kuamuka na mbegu ziliota na kukomaa. Lakini hakujua namna gani mbegu zilivyoota.


Basi Nikodemo akamwuliza: “Maneno haya yanawezekana namna gani?”


Nyuma ya maneno hayo, Yesu akavuka ziwa la Galilaya (linaloitwa vilevile Tiberia).


Akajibu: “Mutu yule anayeitwa Yesu alifanya matope kidogo na kuyapakaa kwa macho yangu, na kuniambia kwamba niende kunawa uso katika kisima cha Siloamu. Nami nikaenda, nikanawa, na halafu nikapata kuona.”


Kwa hiyo Wafarisayo nao wakamwuliza namna gani alivyopata kuona. Naye akawaambia: “Alinipakaa matope kidogo kwa macho, nami nikanawa uso na sasa ninaona.”


Lakini hatujui kilichotokea hata anaona sasa, wala hatujui ni nani aliyemuponyesha macho. Yeye ni mutu muzima. Mumwulize yeye mwenyewe, naye atawaelezea maneno yake.”


Wakamwuliza tena: “Yeye alikufanyia nini? Namna gani alikuponyesha macho?”


Wamoja wakasema: “Ni yeye.” Lakini wengine wakasema: “Hapana, si yeye, anafanana naye tu.” Lakini yeye mwenyewe akasema: “Ni mimi.”


Lakini labda kuko mutu anayeweza kuuliza: “Namna gani wafu watafufuka? Nao watakuwa na mwili wa namna gani wakati ule watakaporudia?”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ