Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoane 8:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Wakati waliposikia maneno haya, wakaondoka wote mumoja kwa mumoja, wakianzia kwa wazee. Yesu akabaki pale peke yake pamoja na yule mwanamuke aliyekuwa akisimama mbele yake.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoane 8:9
22 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yule mwanamuke akamwambia Elia: “Ewe mutu wa Mungu, kuna maneno gani kati yako nami? Kumbe ulikuja kwangu kwa kuzifichua zambi zangu na kusababisha kifo cha mwana wangu?”


Mufalme aliendelea kumwambia Simei: “Unayajua wazi maovu uliyomutendea baba yangu Daudi. Sasa, kwa sababu ya hayo, Yawe atakuazibu.


Mbingu zitafichua uovu wake, dunia itajitokeza kumushambulia.


mwovu atajiona ameshinda kwa muda tu, furaha ya asiyemwogopa Mungu ni ya muda mufupi tu!


Upendezwe, ee Yawe, kuniokoa; ee Yawe, ukuje haraka kunisaidia.


Umefanya hayo yote nami nimenyamaza. Unazani kwamba mimi ni kama wewe? Lakini sasa nitakukaripia, nitakugombeza waziwazi.


Wapinzani wangu wote wafezeheke na kuangamizwa; wenye kuvizia kuniua wafezeheke na kuzarauliwa.


Wewe mwenyewe unajua ndani ya moyo kwamba umetukana wengine mara nyingi.


Yesu aliposema vile, wapinzani wake wote wakafezeheka, lakini kundi lote la watu wote walifurahia matendo yote ya ajabu aliyoyatenda.


Na Yesu alipoinuka, akamwuliza: “Mama, wale watu wako wapi sasa? Hakuna hata mumoja kwa kukuhukumu?”


Yesu akawaambia watu tena: “Mimi ni mwangaza wa dunia. Yeye anayenifuata hatatembea katika giza hata kidogo, lakini atakuwa na mwangaza wa uzima.”


Na kesho yake asubui mapema akarudi tena katika hekalu. Watu wote wakamufikia, naye alipoikaa, akaanza kuwafundisha.


Halafu walimu wa Sheria pamoja na Wafarisayo wakaleta mbele yake mwanamuke mumoja aliyekamatwa katika uzinzi. Wakamusimamisha mbele ya watu wote


Kisha akainama tena na kuandika juu ya udongo.


Kwa maana wanaonyesha kwamba maagizo ya Sheria yameandikwa ndani ya mioyo yao. Zamiri yao vilevile inawahukumu, na mawazo yao yenyewe yanawashitaki au yanawatetea.


Wewe unayesema kwamba haifai kuzini, kwa nini unazini? Wewe unayechukia sanamu za miungu, kwa nini unaiba vitu ndani ya hekalu zao?


Kwa maana hata kama zamiri yetu inatuhukumu, tunajua kwamba mafikiri ya Mungu yanapita zamiri yetu, naye anajua yote.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ