Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoane 8:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 na kumwambia Yesu: “Mwalimu, mwanamuke huyu amekamatwa akizini.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoane 8:4
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kama mwanaume akifanya uzinzi na muke wa mwenzake, wote wawili wanapaswa kuuawa.


Yosefu, muchumba wake, alikuwa mutu wa haki, naye hakutaka kumupatisha haya mbele ya watu, akakusudia kuachana naye kwa siri.


Halafu walimu wa Sheria pamoja na Wafarisayo wakaleta mbele yake mwanamuke mumoja aliyekamatwa katika uzinzi. Wakamusimamisha mbele ya watu wote


Kufuatana na Sheria, Musa alituamuru kuwaua kwa mawe wanawake wa namna hii. Sasa, wewe unasema nini?”


“Mutu akikamatwa akilala na muke wa mutu mwingine, wote wawili, mwanaume na mwanamuke, wanapaswa kuuawa. Ndivyo mutakavyokomesha uovu huo kati yenu.


Siku moja, mume wake akakwenda kumutafuta. Alikusudia kuongea naye vizuri na kumurudisha kwa nyumba yake. Akakwenda pamoja na mutumishi wake na punda wawili. Basi yule mwanamuke akamupeleka ndani kwa baba yake, naye baba mukwe alipomwona akamupokea kwa furaha.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ