Yoane 8:28 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200228 Halafu Yesu akawaambia: “Wakati mutakapomunyanyua Mwana wa Mutu juu, mutafahamu kwamba ‘Mimi Ndimi.’ Na zaidi ya hii mutatambua kwamba sifanyi neno lolote kwa mapenzi yangu, lakini ninasema tu yale niliyofundishwa na Baba. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |