9 Alipokwisha kuwaambia maneno hayo, akabaki Galilaya.
Wandugu zake walipokwisha kwenda kwa sikukuu ile, Yesu akaenda kule vilevile, lakini alienda kwa siri bila kujionyesha waziwazi.
Ninyi muende kwa sikukuu. Mimi sijaenda bado kwa sikukuu hii, kwa sababu wakati unaofaa kwangu haujatimia.”