53 Kisha kila mumoja akarudi kwake.
Yawe anavunja mipango ya mataifa, na anabadilisha mawazo yao.
wakati ulipoinuka kutimiza hukumu, kuwaokoa wote wanaoteswa katika dunia.
Ee Mungu, wewe unatukuzwa sana; unajaa utukufu kuliko milima ya milele.
Wakamujibu: “Na wewe vilevile umetoka Galilaya? Uchunguze Maandiko Matakatifu, nawe utaona kwamba Galilaya hakutoki nabii.” [
Yesu vilevile akajiendea kwa mulima wa Mizeituni.
Kisha kuagana, tukaingia ndani ya chombo, nao wakarudi kwao.