5 (Hata wandugu zake vilevile hawakumwamini.)
Yesu alipokuwa hajamaliza kusema na lile kundi la watu, mama yake na wandugu zake wakafika. Walisimama inje wakitaka kusemezana naye.
Wandugu zake za jamaa waliposikia maneno haya, wakaondoka kwenda kumutwaa, kwa maana walisema kwamba amepotelewa na akili.
Wandugu zake walipokwisha kwenda kwa sikukuu ile, Yesu akaenda kule vilevile, lakini alienda kwa siri bila kujionyesha waziwazi.
wandugu za Yesu wakamwambia: “Ondoka hapa, uende Yudea kusudi wanafunzi wako waone matendo unayofanya.
Hakuna mutu anayefanya kitu kwa uficho, ikiwa anataka kujulikana waziwazi. Basi kwa kuwa unafanya matendo kama hayo, ujionyeshe mbele ya watu wote.”