Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoane 7:49 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

49 Lakini watu hawa wasiojua Sheria ya Musa wamelaaniwa.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoane 7:49
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi, musikilize neno la Yawe, enyi wenye mazarau munaotawala watu wa Yerusalema:


Ole kwao wanaojiona kuwa wenye hekima na akili.


Wanawaambia wale wanaokutana nao hivi: Muikae mbali nami; musinikaribie kwa sababu mimi ni mutakatifu! Watu hao wananikasirikisha sana, hasira yangu ni kama moto usiozimika.


Ni nani kati ya wakubwa wetu au kati ya Wafarisayo aliyemwamini?


Nikodemo, yule aliyekuwa amemwendea Yesu mbele, alikuwa mumoja wa Wafarisayo waliokuwa pale. Akawaambia:


Wakamujibu: “Wewe, uko mwenye zambi kabisa tangu kuzaliwa kwako! Unataka kutufundisha?” Halafu wakamufukuza inje.


Wafarisayo wamoja waliokuwa pamoja naye waliposikia maneno haya, wakamwuliza: “Ni kusema sisi ni vipofu vilevile?”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ