21 Yesu akawajibu: “Nilifanya jambo moja, nalo limewashangaza ninyi wote.
Kwa sababu ile Wayuda wakaanza kumufuatilia Yesu kwa kuwa alifanya mambo haya kwa siku ya Sabato.
Basi, kama munaweza kutahiri mutu kwa siku ya Sabato, kusudi musivunje Sheria ya Musa, kwa nini munanikasirikia kwa sababu nimemuponyesha mutu kabisa kwa siku ya Sabato?