Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoane 6:55 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

55 Mwili wangu ni chakula cha kweli na damu yangu ni kinywaji cha kweli.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoane 6:55
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wengi wanasema: “Heri tungefanikiwa tena! Ee Yawe, utuangalie kwa wema!”


Wakati Yesu alipomwona Natanaeli akikuja kwake akasema hivi juu yake: “Angalia Mwisraeli wa kweli asiyekuwa na udanganyifu ndani yake hata kidogo!”


Ule mwangaza wa kweli, unaomwangazia kila mutu, unakuja katika dunia.


“Mimi ni muzabibu wa kweli, na Baba yangu ni mulimaji.


Yesu akawajibu: “Kweli, kweli ninawaambia: Musa hakuwapa ninyi mukate wa mbinguni, lakini ni Baba yangu anayewapa ninyi mukate wa kweli wa mbinguni.


Anayekula mwili wangu na kunywa damu yangu anapata uzima wa milele, nami nitamufufua siku ya mwisho.


Anayekula mwili wangu na kunywa damu yangu anakaa ndani yangu, nami ninakaa ndani yake.


Basi Yesu akawaambia wale Wayuda waliomwamini: “Kama mukitii mafundisho yangu, ninyi ni wanafunzi wangu hakika.


Kama Mwana akiwapatia uhuru, basi mutapata uhuru wa kweli.


Yeye anafanya kazi ya Kuhani Mukubwa katika Pahali Patakatifu Sana, maana yake katika hema ya kweli iliyosimikwa na Bwana, wala si mutu.


Tunajua vilevile kwamba Mwana wa Mungu amekwisha kuja, naye ametupatia ufahamu tupate kumujua Mungu anayekuwa wa kweli. Nasi tunaungana na yule Mungu anayekuwa wa kweli kwa njia ya Mwana wake Yesu Kristo. Huyu ndiye Mungu wa kweli na uzima wa milele.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ