Yoane 6:51 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200251 Mimi ni ule mukate wa uzima, ulioshuka toka mbinguni. Kama mutu akikula mukate huu ataishi milele. Na mukate nitakaotoa ni mwili wangu, utakaotolewa kusudi dunia ipate uzima.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |