34 Basi wakamwambia: “Bwana, utupatie mukate ule siku zote.”
Mutoe sadaka zinazokuwa sawa, na kumutumainia Yawe.
Mwanamuke yule akamwambia: “Bwana, unipe basi maji yale, kusudi nisisikie kiu tena. Hivi sitahitaji kuja tena hapa kuteka maji.”
Yesu akawajibu: “Kweli, kweli ninawaambia: hamunitafuti kwa sababu muliona vitambulisho nilivyoonyesha, lakini kwa sababu mulikula mikate na kushiba.
Mungu Baba ya Bwana Yesu, anayetukuzwa hata milele, anajua kwamba sisemi uongo.