Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoane 6:24 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

24 Wakati walipoona kama Yesu hakukuwa pale wala wanafunzi wake, wakajiingilia ndani ya vyombo vile na kwenda Kapernaumu kumutafuta Yesu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoane 6:24
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Walipokwisha kuvuka ziwa, wakafika pande za Genezareti.


Nao walipomwona wakamwambia: “Watu wote wanakutafuta.”


Walipovuka ziwa, wakafika katika inchi ya Genezareti, wakaezeka chombo kwenye kivuko.


Yesu alipovuka kurudia ngambo ingine ya ziwa, watu wengi wakamupokea kwa furaha, kwa sababu wote walikuwa wakimungojea.


Yesu akamwuliza: “Mama, kwa sababu gani unalia? Unamutafuta nani?” Maria akizani kwamba ni mulimaji wa bustani, akamwambia: “Bwana, kama ni wewe uliyeondoa maiti yake, uniambie pahali ulipoiweka, nami nitakwenda kuitwaa.”


Wakaingia ndani ya chombo, wakaanza kuvuka ziwa kwa kwenda Kapernaumu. Giza lilikuwa limekwisha kuwa, na Yesu alikuwa hajarudi kukutanana nao.


Na vilevile vyombo vingine vilivyotoka katika muji Tiberia vilifika karibu na pahali pale walipokula mikate, Bwana alipokuwa amekwisha kushukuru Mungu.


Yesu akawajibu: “Kweli, kweli ninawaambia: hamunitafuti kwa sababu muliona vitambulisho nilivyoonyesha, lakini kwa sababu mulikula mikate na kushiba.


Yesu alisema maneno haya wakati alipokuwa akifundisha katika nyumba ya kuabudia kule Kapernaumu.


Wayuda walikuwa wakimutafuta kwenye sikukuu ile na kuuliza kwamba yeye yuko wapi.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ