Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoane 6:19 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

19 Walipofika umbali wa kadiri ya kilometre tano au sita, wakamwona Yesu anakaribia chombo, akitembea juu ya maji; kwa hiyo wakaogopa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoane 6:19
16 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yeye peke yake alitandaza mbingu, na kuyakanyaga mawimbi ya bahari.


Yawe ameikaa juu ya mafuriko ya maji; Yawe ni mufalme anayetawala milele.


Yawe ana mamlaka juu mbinguni, ana nguvu kuliko mulio wa bahari, ana nguvu kuliko mawimbi ya maji.


Wavuta makasia wako walikupeleka mbali katika bahari. Upepo mukali wa mashariki umekuvunjavunja ukiwa mbali katikati ya bahari.


Watumishi wale wakajaribu kuvuta makasia wapate kuifikisha mashua yao inchi kavu, lakini hawakufanikiwa kwa maana bahari ilizidi kuwachafukia.


Siku ile ile, wawili kati ya wanafunzi walikuwa wakienda kwenye kijiji cha Emau, kilichokuwa kwa umbali wa kilometre kumi na moja kutoka Yerusalema.


Yule mutoto alipokuwa akijongea karibu na Yesu, yule pepo akamutupa chini na kumutikisa kwa nguvu. Lakini Yesu akamukaripia yule pepo na kumuponyesha mutoto. Kisha akamurudisha kwa baba yake.


Kati ya kijiji cha Betania na Yerusalema kulikuwa umbali yapata kilometre tatu.


“Sitawaacha kama wayatima, nitawarudilia tena.


Ziwa likaanza kuchafuka sana; kwa sababu upepo ulikuwa ukivuma kwa nguvu.


Lakini Yesu akawaambia: “Ni mimi, musiogope!”


Zile zabibu zikakamuliwa mbali na muji, damu ikatiririka toka ndani ya kile kikamulio mpaka ikafika kwenye umbali wa kilometre yapata mia tatu. Nao urefu kwenda chini wa ile damu ulikuwa yapata metre moja na nusu.


Muji ule ulikuwa umejengwa namna ya muraba, urefu wake na upana wake vilikuwa sawasawa. Malaika akapima muji ule na ile fimbo; ulikuwa na urefu, upana na urefu wake wa kwenda juu yapata kilometre elfu mbili na mia ine.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ