Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoane 5:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Mara moja mutu yule akapona, akatwaa kipoyi chake na kuanza kutembea. Siku ile ilikuwa siku ya Sabato,

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoane 5:9
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Viwete watarukaruka kama paa, na bubu wataimba kwa furaha. Maji yatabubujika katika jangwa na vijito katika mbuga.


Uwaambie kwamba: Yawe anasema hivi: Mufanye angalisho kwa ajili ya maisha yenu. Musibebe muzigo siku ya Sabato, au kuingiza muzigo katika Yerusalema kupitia kwenye milango ya muji.


Basi Yesu akajongea karibu naye, akamushika mukono na kumusimamisha. Naye akapona homa na kuanza kuwashugulikia.


Na mara moja mutu yule akapona ukoma na kutakaswa.


Yesu akamwambia: “Ujiendee, imani yako imekuponyesha.” Na pale pale akapata kuona, na kumufuata Yesu katika njia.


Alipogusa nguo ya Yesu, mara moja damu yake ikaacha kutoka, naye akajisikia amepona.


Kisha Yesu akamukuta mutu yule ndani ya hekalu, akamwambia: “Angalia, sasa umepona. Basi usifanye zambi tena, kusudi jambo baya zaidi lisikufikie.”


Basi, kama munaweza kutahiri mutu kwa siku ya Sabato, kusudi musivunje Sheria ya Musa, kwa nini munanikasirikia kwa sababu nimemuponyesha mutu kabisa kwa siku ya Sabato?


Na siku ile Yesu alipofanya matope na kuponyesha macho ya mutu yule, ilikuwa siku ya Sabato.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ