Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoane 5:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Yule mugonjwa akamujibu: “Bwana, sina mutu wa kuniingiza katika kisima wakati maji yanapotikiswa, nami ninapojaribu kuingia ndani ya maji, mutu mwingine anaingia mbele yangu.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoane 5:7
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Roho yangu inaporegea kabisa, yeye yuko, anajua mwenendo wangu. Waadui wamenitegea mitego katika njia ninayopita.


Atamukomboa mukosefu anayemwomba, na masikini asiyekuwa na wa kumusaidia.


Kule Yerusalema, karibu na mulango wa muji huu unaoitwa “Mulango wa Kondoo,” kuna kisima chenye viingilio vitano vyenye paa. Kisima kile kinaitwa katika Kiebrania “Betesaida.”


Wagonjwa wengi walikuwa wakilala katika viingilio vile; kulikuwa vipofu, vilema na wenye kupooza. [Walikuwa wakingoja maji yatikiswe,


kwa sababu malaika wa Bwana alishuka mara kwa mara ndani ya kile kisima na kutikisa maji. Na mugonjwa wa kwanza aliyeingia ndani ya maji kisha kuyatikisa, alipona ugonjwa wowote aliokuwa nao.]


Wakati Yesu alipomwona akilala na kutambua kwamba amekuwa mugonjwa kwa muda wa siku nyingi, akamwuliza: “Unataka kupona?”


Kwa maana tulipokuwa hatuna uwezo wowote, Kristo alikufa kwa ajili ya waovu kwa wakati uliopangwa.


Munajua hakika kuwa wale wanaofanya mashindano ya kukimbia, wote wanakimbia lakini ni mumoja tu anayepokea zawadi. Basi mukimbie hata mufikie kupokea zawadi.


Yawe atawatetea watu wake, na kuwahurumia watumishi wake, wakati atakapoona nguvu zao zimeisha wala hakuna aliyebaki, mufungwa au mutu huru.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ