31 Kama nikijishuhudia mimi mwenyewe, ushuhuda wangu hauwezi kukubaliwa kuwa wa kweli.
Acha watu wengine wakusifu, kuliko kujisifu kwa mudomo wako wewe mwenyewe.
Yesu akajibu: “Kama nikijitafutia sifa yangu mwenyewe, sifa ile haina maana. Baba yangu ndiye anayenisifu, yule munayejidai kwamba ni Mungu wenu!
“Umwandikie malaika wa kanisa la Laodikia hivi: “Ujumbe huu unatoka kwa yule anayeitwa ‘Amina’, mushuhuda mwaminifu, mwenye ukweli, na musingi wa viumbe vyote vya Mungu.