Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoane 5:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Kwa sababu ile Wayuda wakaanza kumufuatilia Yesu kwa kuwa alifanya mambo haya kwa siku ya Sabato.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoane 5:16
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha Yesu akamwambia yule mutu: “Nyoosha mukono wako.” Naye akaunyoosha, nao ukakuwa tena muzima sawa ule mwingine.


Pale pale Wafarisayo wakatoka inje na kwenda kukusanyika na watu wa Herode kusudi wafanye mipango ya kumwua Yesu.


Lakini wale wakubwa wakakasirika sana, wakaanza kusemezana wao kwa wao juu ya namna watakavyomutendea Yesu.


Huu ndio ushuhuda wa Yoane kwa makuhani na Walawi waliotumwa na Wayuda kutoka Yerusalema kumwuliza kwamba yeye ni nani.


Wakajaribu tena kumufunga Yesu, lakini akawaponyoka.


Mukumbuke maneno niliyowaambia kwamba mutumishi si mukubwa kuliko bwana wake. Kama walinitesa mimi, watawatesa ninyi vilevile. Na kama walishika maneno yangu, watashika maneno yenu vilevile.


kwa hiyo Wayuda wakamwambia mutu yule aliyeponyeshwa: “Leo ni siku ya Sabato, na Sheria haikuruhusu kubeba kipoyi chako.”


Lakini mutu yule aliyeponyeshwa hakujua ni nani, kwa maana Yesu alikuwa amekwisha kuondoka katikati ya kundi kubwa la watu waliokuwa pale.


Yule mutu akaenda kuwaambia Wayuda kwamba Yesu ndiye aliyemuponyesha.


Lakini Yesu akawajibu: “Baba yangu anatumika wakati wote, nami ninatumika vilevile.”


Kwa ajili ya neno hili Wayuda walitaka tena zaidi kumwua; si kwa sababu ya kuvunja Sheria ya siku ya Sabato tu, lakini vilevile kwa sababu alisema kwamba Mungu ni Baba yake, akijifanya hivi kuwa sawasawa na Mungu.


Yesu akawajibu: “Nilifanya jambo moja, nalo limewashangaza ninyi wote.


Halafu watu wamoja wa Yerusalema wakasema: “Huyu si mutu yule wanayetafuta kumwua?


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ