Yesu alizaliwa Betelehemu katika Yudea wakati wa utawala wa mufalme Herode. Kisha kuzaliwa kwake, watu wenye elimu kutoka mashariki wakafika Yerusalema.
lakini alipofika Galilaya, wakaaji wa kule wakamupokea, kwa maana wao vilevile walikuwa Yerusalema kwa sikukuu ya Pasaka, nao waliona mambo yote aliyofanya kule.
Wakati aliposikia kwamba Yesu amefika Galilaya toka Yudea, mukubwa huyu akamwendea, akamusihi aende Kapernaumu kumuponyesha mwana wake, aliyekuwa karibu kufa.