Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoane 4:50 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

50 Yesu akamwambia: “Kwenda tu, mwana wako ni muzima.” Mutu yule akaamini neno Yesu alilosema, naye akaondoka.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoane 4:50
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Unga ndani ya chungu haukupunguka, wala mafuta katika chupa hayakuisha sawa kabisa na neno la Yawe alilomwambia Elia aseme.


Kisha Yesu akamwambia yule mukubwa wa waaskari hivi: “Urudie kwako, na ifanyike kwako sawa ulivyoamini.” Na saa ile ile mutumishi wake akapona.


Yesu alipowaona, akawaambia: “Mwende kwa makuhani kusudi wapate kuwachunguza.” Nao walipokuwa katika njia kwenda kule, wakaponyeshwa.


Yesu akamwambia: “Sikukuambia kwamba ukiamini utaona utukufu wa Mungu?”


Yule mukubwa wa serikali akamujibu: “Bwana, ninakuomba ufike kwangu mbele mutoto wangu hajakufa.”


Alipokuwa katika njia akirudi kwake, watumishi wake wakakuja kukutana naye na kumwambia kwamba mutoto wake ni muzima.


Abrahamu aliamini kwamba Mungu anaweza kumufufua Isaka na hivi akarudishiwa tena Isaka kama vile mwenye kufufuka.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ