4 Kwa kufika kule ilimupasa apite katika Samaria.
Yesu alipokuwa katika safari kwenda Yerusalema, akapita katika jimbo la Samaria na la Galilaya.
Yesu akawajibu: “Kwa nini mulinitafuta? Hamujui kwamba ninapaswa kuwa katika nyumba ya Baba yangu?”
Siku ya karamu ya Mukate Usiotiwa Chachu, ndiyo siku ile walipaswa kuchinja kondoo waliotayarishwa kwa ajili ya Pasaka ikatimia.