Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoane 4:39 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

39 Wasamaria wengi wa muji ule walimwamini Yesu kwa sababu ya maneno ya yule mwanamuke aliposhuhudia hivi: “Aliniambia mambo yote niliyotenda.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoane 4:39
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hao ndio wanafunzi kumi na wawili Yesu aliowatuma, akiwaagiza mambo haya: “Musiende katika inchi za watu wa mataifa mengine wala musiingie katika muji wowote wa Samaria.


Wale wanafunzi wawili waliposikia maneno yale, wakamufuata Yesu.


Wayuda wengi kati ya wale waliokuja kwa Maria, na walioona mambo Yesu aliyofanya, wakamwamini.


“Mukuje mumwone mutu aliyeniambia maneno yote niliyotenda. Huyu si Kristo?”


Basi wakatoka katika muji na kumwendea Yesu.


Mimi niliwatuma ninyi katika shamba kuvuna mavuno ambayo hamukusumbukia; wengine waliyasumbukia, nanyi mumepata faida ya kazi yao.”


Na Wasamaria walipomufikia Yesu, walimusihi akae pamoja nao, naye akakaa kule muda wa siku mbili.


nao wakamwambia yule mwanamuke: “Sasa tunaamini, si kwa sababu ya maneno uliyotuambia tu, lakini kwa sababu tumesikia sisi wenyewe na tunajua hakika kwamba huyu ni Mwokozi wa dunia.”


Akafika karibu na muji mumoja wa Samaria unaoitwa Sikari, uliokuwa karibu na shamba lile Yakobo alilomupa mwana wake Yosefu.


(Wakati ule wanafunzi wake walikuwa wamekwenda katika muji kununua vyakula.)


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ