Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoane 4:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Basi, Yesu akaondoka Yudea na kurudi Galilaya.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoane 4:3
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Watakapowatesa katika muji mumoja, mukimbilie katika muji mwingine. Kweli ninawaambia: hamutamaliza kuzunguka katika miji yote ya Israeli mbele ya kurudi kwa Mwana wa Mutu.


Yesu na wanafunzi wake wakaenda peke yao pembeni ya ziwa la Galilaya, na kundi kubwa la watu walimufuata. Watu hawa walitoka Galilaya na Yudea,


Yesu alipokuwa katika safari kwenda Yerusalema, akapita katika jimbo la Samaria na la Galilaya.


Siku iliyofuata Yesu alitaka kwenda Galilaya. Alipomukuta Filipo akamwambia: “Unifuate.”


Halafu Yesu akaenda tena ngambo ingine ya Yordani, pahali Yoane alipobatiza watu zamani, na kubaki kule.


Kwa sababu hii Yesu hakutembea tena akijionyesha waziwazi kati ya Wayuda. Kisha akajiendea pamoja na wanafunzi wake katika inchi iliyokuwa karibu na jangwa katika muji unaoitwa Efuraimu. Nao wakabaki kule.


Ni vile Yesu alivyofanya kitambulisho chake cha kwanza katika Kana ya Galilaya. Pale alionyesha utukufu wake na wanafunzi wake wakamwamini.


Kisha mambo hayo, Yesu na wanafunzi wake wakaenda Yudea. Akabaki kule pamoja nao na kubatiza.


anashuhudia yale aliyoyaona na kuyasikia, lakini hakuna mutu anayekubali ushuhuda wake.


Wakati aliposikia kwamba Yesu amefika Galilaya toka Yudea, mukubwa huyu akamwendea, akamusihi aende Kapernaumu kumuponyesha mwana wake, aliyekuwa karibu kufa.


Kisha mambo hayo, Yesu akatembea katika Galilaya. Hakutaka kutembea katika Yudea, kwa sababu Wayuda walitaka kumwua.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ