Basi wale wanawake wakaondoka upesi kutoka kwenye kaburi, wakijazwa na woga na furaha kubwa vilevile. Wakakimbia kwenda kuwapasha wanafunzi wake habari ile.
Saa ile ile wanafunzi wa Yesu wakarudi, nao wakashangaa kumwona akisemezana na mwanamuke. Lakini hakuna mumoja wao aliyemwuliza yule mwanamuke kwamba anataka nini au kumwuliza Yesu kwamba sababu gani anasema naye.