17 Yule mwanamuke akamujibu: “Sina mume.” Na Yesu akamwambia: “Unasema kweli kwamba hauna mume;
Yesu akamwambia: “Uende kumwita mume wako na urudi naye hapa.”
kwa maana ulikuwa na wanaume watano, na yule unayeishi naye sasa si mume wako. Hivi unasema ukweli.”
“Mukuje mumwone mutu aliyeniambia maneno yote niliyotenda. Huyu si Kristo?”
Unasema ukweli. Yamekatwa kwa sababu yalikataa kuamini na wewe unasimama imara katika imani yako. Sasa usijivune, lakini uogope!