1 Kulikuwa mutu mumoja aliyeitwa Nikodemo, mukubwa wa Wayuda, aliyekuwa mumoja wa kundi la Wafarisayo.
Basi Pilato akafanya mukutano wa wakubwa wa makuhani, nao wasimamizi wa watu pamoja na watu wao.
Naye Nikodemo, yule aliyemwendea Yesu siku moja usiku, alikuja vilevile. Alikuwa akileta yapata kilo makumi tatu ya marasi yaliyochangwa na udi.
Yesu akamujibu: “Wewe unayekuwa mwalimu mukubwa katika inchi ya Israeli, haujui maneno haya?
Angalia, anasema waziwazi wala hawamwambii neno! Labda wakubwa nao wametambua kweli kuwa huyu ndiye Kristo.