Watumishi na walinzi walikuwa wamekonga moto kwa sababu wakati ule ulikuwa wa baridi, nao walisimama pale wakiota moto. Petro alisimama pale vilevile, akiota moto pamoja nao.
Wanafunzi wengine wakakuja katika chombo wakikokota wavu uliojaa samaki. Nao hawakukuwa mbali kabisa na inchi kavu, iliwabakilia yapata metre mia moja tu.