Yoane 21:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
8 Wanafunzi wengine wakakuja katika chombo wakikokota wavu uliojaa samaki. Nao hawakukuwa mbali kabisa na inchi kavu, iliwabakilia yapata metre mia moja tu.
Halafu mwanafunzi yule aliyependwa na Yesu akamwambia Petro: “Ni Bwana.” Simoni Petro aliposikia kwamba ni Bwana, akavaa kanzu yake (kwa maana alikuwa havai kitu), naye akajitupa ndani ya maji.
(Mufalme Ogi ndiye peke yake aliyebakia kati ya Warefai. Kitanda chake kilichotengenezwa kwa chuma, kilikuwa na urefu wa metre ine na upana wa karibu metre mbili. Kitanda hicho kipo katika muji wa Waamori wa Raba.)