Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoane 20:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Kisha Simoni Petro akafika nyuma yake na kuingia ndani ya kaburi. Akaona vitambaa vimewekwa pembeni,

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoane 20:6
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yule mwanamuke akamwambia Petro: “Wewe vilevile si mumoja wa wanafunzi wa mutu huyu?” Petro akamujibu: “Hapana! Mimi si mwanafunzi wake.”


Yeye akainama na kuchungulia ndani yake, akaona vitambaa vimewekwa pembeni, lakini hakuingia.


vilevile akaona kitambaa kilichofunika kichwa cha Yesu. Kitambaa kile hakikuwekwa pamoja na vile vingine, lakini kilikuwa kimekunjwa na kuwekwa peke yake pahali pengine.


Halafu mwanafunzi yule aliyependwa na Yesu akamwambia Petro: “Ni Bwana.” Simoni Petro aliposikia kwamba ni Bwana, akavaa kanzu yake (kwa maana alikuwa havai kitu), naye akajitupa ndani ya maji.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ