11 Maria alikuwa akisimama inje karibu na kaburi, akilia. Alipokuwa akilia, akainama na kuangalia ndani ya kaburi,
Basi wakaingia ndani ya kaburi, na mule wakaona kijana mumoja akiikaa upande wa kuume, akivaa kanzu nyeupe. Nao wakashituka.
Yeye akainama na kuchungulia ndani yake, akaona vitambaa vimewekwa pembeni, lakini hakuingia.