Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoane 2:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 kwa mukubwa wa karamu, akaonja yale maji yaliyogeuka kuwa divai. Mukubwa ule hakujua pahali divai ile ilipotoka, lakini watumishi walioleta maji walijua. Basi akamwita bwana-arusi,

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoane 2:9
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Ninawapita wazee kwa akili yangu, kwa sababu ninashika kanuni zako.


wakamupa Yesu divai iliyochanganywa na kinywaji chenye uchungu sana. Lakini alipoionja, akakataa kuikunywa.


Yesu akawajibu: “Munafikiri kwamba warafiki za bwana-arusi wanaweza kufanya kilio wakati bwana-arusi angali pamoja nao? Hapana! Lakini kutakuwa siku bwana-arusi atakapoondoshwa kati yao; ni siku zile watafunga kula.


Kisha Yesu akamwambia: “Muteke sasa kwa maji haya na muyapeleke kwa mukubwa wa karamu.” Watumishi wakayapeleka


Basi Yesu akarudi tena Galilaya katika muji Kana, pahali alipogeuza maji kuwa divai. Kule kulikuwa mukubwa mumoja wa serikali, aliyekuwa na mwana mugonjwa katika muji Kapernaumu.


Kama mutu akitaka kufanya mapenzi ya Mungu, atajua kama mafundisho yangu yanatoka kwa Mungu, au kama ninasema kwa mamlaka yangu mwenyewe.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ