kwa mukubwa wa karamu, akaonja yale maji yaliyogeuka kuwa divai. Mukubwa ule hakujua pahali divai ile ilipotoka, lakini watumishi walioleta maji walijua. Basi akamwita bwana-arusi,
Mumupe kila mutu haki yake: mulipishaji wa kodi, mumulipe kodi; mulipishaji wa ushuru, mumulipe ushuru. Mumuheshimu anayestahili kuheshimiwa na mumutukuze anayestahili kutukuzwa.