Na katika mwezi wa Buli, ni kusema mwezi wa nane, katika mwaka wa kumi na mumoja, ujenzi wa nyumba ulimalizika, na kazi ilikuwa imekamilika kama ilivyopangwa. Solomono alitumia miaka saba kwa kujenga.
Kisha Sesebasari akakuja na kuweka musingi wa nyumba ya Mungu katika Yerusalema, na tangu wakati huo ujenzi umekuwa ukiendelea mpaka sasa, lakini bado haujamalizika.
Wamoja kati ya wanafunzi wa Yesu walikuwa wakizungumuza juu ya hekalu, wakisema juu ya majengo yake mazuri ya mawe na juu ya vitu vingine vizuri watu walivyovitoa sadaka kwa Mungu. Lakini Yesu akasema: