17 Wanafunzi wake wakakumbuka maneno haya yaliyoandikwa katika Maandiko Matakatifu: “Upendo wangu kwa ajili ya nyumba yako unanichoma.”
Upendo wangu kwako unanifanya niwake hasira, maana waadui zangu hawajali maneno yako.
Nimekuwa mugeni kwa wandugu zangu, kaka na dada zangu hawanitambui.
Yesu alialikwa vilevile kwenye ndoa ile pamoja na wanafunzi wake.
Wakati Yesu alipokwisha kufufuka, wanafunzi wake wakakumbuka kwamba alikuwa anasema juu ya jambo lile, wakaamini Maandiko Matakatifu na maneno yale aliyosema.