Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoane 19:40 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

40 Wote wawili wakatwaa maiti ya Yesu, wakaifunga na vitambaa vyenye kupakaliwa mafuta zenye harufu nzuri sawa na desturi za maziko za Wayuda.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoane 19:40
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha, akawaagiza waganga wake wamupakae baba yake Israeli, dawa kusudi asioze, nao wakafanya hivyo.


Akazikwa katika kaburi alilokuwa amejichimbia yeye mwenyewe, katika muji wa Daudi. Walimulalisha juu ya kitanda kilichokuwa kimejazwa marasi ya kila aina yaliyotayarishwa na wafundi wa kutengeneza marasi, wakawasha moto mukubwa sana kwa heshima yake.


Mwanamuke huyu amemimia marasi hii juu ya mwili wangu kwa kuutayarisha kwa ajili ya maziko.


Amefanya sawa alivyoweza. Ameupakaa mwili wangu marasi mbele ya wakati kwa kuutayarisha kwa ajili ya maziko.


Lakini Petro alisimama, akaenda mbio mpaka kwenye kaburi. Alipoinama kuchungulia ndani yake, akaona tu vile vitambaa. Kisha akarudia kwake, akishangaa kwa ajili ya mambo yaliyotokea.


Halafu yule marehemu akatoka inje, akiwa amefungwa mikono na miguu kwa vitambaa, na uso wake ukifunikwa na nguo. Yesu akawaambia: “Mumufungue, mumwache ajiendee.”


Lakini Yesu akasema: “Umwache kimya, kwa maana alikuwa ameweka marasi hii kwa ajili ya siku ya maziko yangu.


Kisha vijana wakakuja, wakafunika maiti yake wakamubeba mbali na muji na kumuzika.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ