32 Basi waaskari walikuja, wakavunja miguu ya mutu wa kwanza na kisha miguu ya yule wa pili aliyetundikwa pamoja na Yesu juu ya musalaba.
Waaskari wakamutundika Yesu juu ya musalaba kule pamoja na watu wengine wawili, mumoja kila upande na Yesu katikati.
Lakini walipofika kwenye Yesu, walikuta amekwisha kufa; kwa hiyo hawakumuvunja miguu.