21 Basi wakubwa wa makuhani wa Wayuda wakamwambia Pilato: “Usiandike: ‘Mufalme wa Wayuda,’ lakini uandike hivi: ‘Mutu huyu alisema, Mimi ni Mufalme wa Wayuda!’ ”
Siku ile ilikuwa siku ya matayarisho ya Pasaka, karibu na saa sita. Pilato akawaambia Wayuda: “Mufalme wenu huyu!”
Pilato akaamuru andiko liandikwe na kuwekwa juu ya musalaba. Nalo liliandikwa hivi: “Yesu wa Nazareti, Mufalme wa Wayuda.”