9 Alisema vile kusudi maneno haya aliyosema yapate kutimia: “Sikupoteza hata mumoja kati ya wale ulionipa.”
Wakati nilipokuwa pamoja nao, niliwalinda kwa uwezo wa jina lako, ndilo lile jina ulilonipa. Nimewachunga wala hakuna mumoja wao aliyepotea, isipokuwa yule anayepaswa kupotea, kusudi Maandiko Matakatifu yatimizwe.
Yesu akajibu: “Nimekwisha kuwaambia kwamba ni mimi. Basi ikiwa ni mimi munayemutafuta, muwaache hawa wanaokuwa nami wajiendee.”
Na mapenzi ya yule aliyenituma ni kwamba nisipoteze hata mumoja wa wale alionipa, lakini nimufufue siku ya mwisho wa dunia.