6 Yesu alipowaambia: “Ni mimi,” wakarudi nyuma na kuanguka.
Wafezeheke na kurudishwa nyuma, wote wale wanaouchukia Sayuni.
Waovu wakinishambulia, na kutaka kuniangamiza, hao wapinzani wangu watajikwaa na kuanguka.
Upendezwe, ee Yawe, kuniokoa; ee Yawe, ukuje haraka kunisaidia.
Wakamujibu: “Yesu wa Nazareti.” Yesu akawaambia: “Ni mimi.” Na Yuda, yule aliyekuwa amemutoa, alikuwa akisimama pale pamoja nao.
Yesu akawauliza tena: “Munamutafuta nani?” Nao wakasema: “Yesu wa Nazareti.”