23 Yesu akamujibu: “Kama nimesema vibaya, onyesha ubaya ule. Lakini kama nimesema vizuri, kwa nini unanipiga?”
Lakini mimi ninawaambia: musirudishe mabaya kwa mabaya. Kama mutu akikupiga kofi kwa shavu la kuume, umugeuzie shavu la kushoto vilevile.
Sasa mimi Paulo mwenyewe ninawaomba kwa upole na kwa wema sawa na ule wa Kristo; mimi yule ambaye wanasema juu yake kwamba ni mupole wakati ninapokuwa pamoja nanyi, lakini ni mukali wakati ninapokuwa mbali nanyi.