Yoane 18:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200215 Simoni Petro na mwanafunzi mwingine walimufuata Yesu. Yule mwanafunzi alikuwa akijulikana na Kuhani Mukubwa, kwa hiyo akaingia pamoja na Yesu ndani ya upango wa nyumba ya Kuhani Mukubwa. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |