Yoane 18:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200214 Ni Kayafa aliyewashauria Wayuda kwamba ni afazali mutu mumoja akufe kwa ajili ya watu wote. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Na kwa sababu kivuko kile hakikukuwa na nafasi zuri ya kukaa wakati wa baridi kali, watu wengi kati yetu wakakubaliana kuondoka kule, kusudi ikiwezekana wafike Foinike, na kupitishia wakati wa baridi kali kule. Foinike ni kivuko kimoja kinachokuwa katika kisanga cha Krete, kinachoelekea upande wa kaskazini-magaribi na wa kusini-magaribi.