Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoane 18:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Basi lile kundi la waaskari na mukubwa wao pamoja na wale walinzi wa wakubwa wa Wayuda wakamukamata Yesu na kumufunga.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoane 18:12
17 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Walipofika pahali ambapo Mungu alipomwagiza, Abrahamu akajenga mazabahu na kupanga kuni juu yake. Kisha akamufunga Isaka mwana wake na kumulalisha juu ya kuni kwenye mazabahu.


akawafungia ndani ya nyumba ya mukubwa wa waaskari walinzi, katika kifungo, pahali Yosefu alipofungwa.


Yawe ni Mungu; yeye ametujalia mwangaza wake. Mushike matawi katika mikono, mukiandamana mpaka kwenye mazabahu.


Wale waliomukamata Yesu wakamupeleka kwa Kuhani Mukubwa Kayafa, pahali walimu wa Sheria na wasimamizi wa watu walipokuwa wamekusanyika.


Wakamufunga, wakamupeleka na kwenda kumutoa kwa liwali Pilato.


Kisha waaskari wa liwali Pilato wakamupeleka Yesu ndani ya upango wa nyumba ya liwali, nalo kundi lao lote wakakusanyika na kumuzunguka.


Wakamupeleka Yesu mbele ya Kuhani Mukubwa, nao wakubwa wote wa makuhani, na wasimamizi wa watu pamoja na walimu wa Sheria wakakusanyika pale.


Asubui mapema, mara moja wakubwa wa makuhani wakafanya shauri pamoja na wasimamizi wa watu, walimu wa Sheria na wakubwa wote wa baraza. Wakamufunga Yesu, wakamupeleka na kwenda kumutoa kwa Pilato.


Walipokwisha kumukamata, wakamupeleka katika nyumba ya Kuhani Mukubwa. Petro akamufuata Yesu kwa mbali.


Yuda akatwaa kundi la waaskari pamoja na walinzi waliotumwa na wakubwa wa makuhani na Wafarisayo. Akakuja nao kwenye bustani wakibeba taa, mienge na silaha.


Katika muji Kaisaria, kulikuwa mutu mumoja jina lake Kornelio. Yeye alikuwa mukubwa wa kundi la waaskari lililoitwa “Kundi la Italia.”


Walipotafuta kumwua Paulo, habari ikamufikia mwongozi wa kundi la waaskari kwamba muji wote wa Yerusalema umejaa fujo.


Waaskari walipotaka kumwingiza Paulo katika upango, akamwuliza mukubwa wa kundi la waaskari: “Unaweza kuniruhusu kukuambia neno moja?” Yule mukubwa wa kundi la waaskari akamwuliza: “Unajua Kigriki?


Ugomvi ulipozidi sana, jemadari akaogopa kwamba watu wale watamurarua Paulo. Kwa hiyo akaamuru waaskari waende katikati ya mukutano ule na kumwondosha Paulo kwa kinguvu katikati yao na kumurudisha ndani ya upango wa waaskari.


Wafilistini wakamukamata, wakamwongoa macho, wakamupeleka Gaza, wakamufunga kwa minyororo ya shaba, na kumulazimisha kufanya kazi ya kusaga unga kule katika kifungo.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ