Yoane 17:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20021 Wakati Yesu alipokwisha kusema maneno hayo, akainua macho mbinguni na kusema: “Baba, wakati umetimia. Uonyeshe utukufu wa Mwana wako, kusudi Mwana wako aonyeshe utukufu wako vilevile. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |