6 Lakini kwa sababu nimewaambia maneno haya, mumesikitika sana.
Kisha kuomba, alirudia pahali alipoacha wanafunzi wake, akawakuta wamelala kwa sababu walikuwa na huzuni.
Yesu akawauliza: “Ni maneno gani haya munayosumulia hapa katika njia.” Nao wakasimama, wakiwa wanahuzunika.
Yesu akawaambia wanafunzi wake: “Musifazaike; mumwamini Mungu, na muniamini mimi vilevile.