Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoane 16:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Lakini ninawaambia maneno haya kusudi wakati ule utakapotimia mupate kukumbuka kwamba nimekwisha kuwaambia. “Sikuwaambia ninyi maneno hayo mbele kwa sababu nilikuwa ningali pamoja nanyi.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoane 16:4
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mutakapokuwa mukienda, muhubiri kwa watu kwamba Ufalme wa mbinguni umekaribia!


Yesu akawajibu: “Munafikiri kwamba warafiki za bwana-arusi wanaweza kufanya kilio wakati bwana-arusi angali pamoja nao? Hapana! Lakini kutakuwa siku bwana-arusi atakapoondoshwa kati yao; ni siku zile watafunga kula.


Lakini ninyi mujiangalie vizuri, kwa maana nimewaambia hayo yote mbele.


Yesu akawajibu: “Munafikiri kwamba wanaoalikwa kwa arusi wanaweza kujizuiza kula chakula cha karamu wakati bwana-arusi angali pamoja nao? Hapana! Wakati bwana-arusi angali pamoja nao hawawezi kujizuiza kula.


Ninawaambia ninyi sasa hayo yote mbele hayajatokea, kusudi wakati yatakapotokea, mwamini kwamba ‘Mimi Ndimi.’


Nimewaambia maneno haya sasa mbele hayajatokea, kusudi wakati yatakapotokea, mupate kuamini.


Nami nitamwonyesha mateso ya namna gani atakayopaswa kupata kwa ajili yangu.”


Hamukumbuki kwamba niliwaambia maneno haya wakati nilipokuwa pamoja nanyi?


Kwa maana ninajua kwamba ninakaribia kuacha mwili huu unaokuwa wa kufa kama vile Bwana wetu Yesu Kristo alivyonionyesha waziwazi.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ