17 Amri ninawapa ni kwamba mupendane ninyi kwa ninyi.
Ninawapa amri mupya: mupendane ninyi kwa ninyi. Kama mimi nilivyowapenda, nanyi mupendane vilevile.
Hii ndiyo amri ninayowapa: mupendane ninyi kwa ninyi kama ninavyowapenda.
Muwaheshimu watu wote. Muwapende wandugu zenu waamini. Mumwogope Mungu, mumuheshimu mufalme.
Na sasa Mama, ninakusihi: tupendane. Basi hii si amri mupya ninayokuandikia, lakini ni amri ile tuliyopokea tangu mwanzo.