Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoane 14:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Filipo akamwambia: “Bwana, utuonyeshe Baba, na ile itatutoshelea.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoane 14:8
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha atamwomba Mungu na kukubaliwa, atakuja mbele yake kwa furaha, na Mungu atamurudishia utukufu wake.


Lakini mimi nitauona uso wako, maana mimi ni mutu wa haki; nitakapoamuka nitajaa furaha kwa sababu unanitokea.


Ee Mungu, wewe ni Mungu wangu. Moyo wangu unakutafuta, roho yangu inasikia kiu yako, ninasikia kiu yako kama inchi inayokauka kwa ukosefu wa maji.


Heri wale wanaokuwa na moyo safi, maana watamwona Mungu!


Natanaeli akamwuliza: “Unanijua namna gani?” Yesu akamujibu: “Filipo alipokuwa hajakuita, nilikuona wakati ulipokuwa chini ya muti wa matunda ya tini.”


“Nimewaambia ninyi maneno hayo kwa mifano. Lakini kutakuwa wakati sitasema nanyi tena kwa mifano, lakini nitawaambia ninyi waziwazi juu ya Baba.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ